Miaka ya 1980 na mapema ya 1990, mamilioni ya Wamisri walikuwa wakikusanyika mbele ya runinga zao kila mara kuangalia tamthilia ya "Raafat Al-Hagan" iliporushwa hewani. Walimtazama jasusi huyo wa ...
“Alinipigia kuniuliza mchana nimepika nini, nikamwambia nimepika ugali. Akasema atakuja muda si mrefu, ameitwa anakwenda kukutana na afande Edward kwenye baa moja huko Nyakato. Huyu afande Edward ...